Mark 11:9

9 aKisha wale waliokuwa wametangulia mbele na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti, wakisema,

“Hosana!”
Kiebrania kusema Okoa, basi likawa neno la shangwe.


“Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”
Copyright information for SwhNEN